Podchaser Logo
Home
Niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na Fursa zilizopo kwa Developers

Niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na Fursa zilizopo kwa Developers

Released Wednesday, 16th November 2022
Good episode? Give it some love!
Niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na Fursa zilizopo kwa Developers

Niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na Fursa zilizopo kwa Developers

Niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na Fursa zilizopo kwa Developers

Niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na Fursa zilizopo kwa Developers

Wednesday, 16th November 2022
Good episode? Give it some love!
Rate Episode

Nimeandaa mjumuisho wa mambo niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na hamasa niliyopata na hivyo nimeona vyema niweze kukushirikisha wenzetu walipo ili nasi tupate kupiga hatua zaidi.

Ndugu yangu, sikuwahi kujua event ya developers kuwa na wahudhuliaji zaidi ya 3000, vyombo kuletwa na kontena la 40 futi. Yaani nina mengi kukubadilisha mtazamo lakini nikaelewa ndio maana makampuni makubwa ya TEHAMA duniani yana ofisi Kenya.

DevFestDar RSVP: http://zipa.me/devfestdar 

Be a Speaker: https://sessionize.com/devfest-dar-es-salaam

Show More

Unlock more with Podchaser Pro

  • Audience Insights
  • Contact Information
  • Demographics
  • Charts
  • Sponsor History
  • and More!
Pro Features