Tangu mwaka 2015, mauaji na vifo vya wananchi vinavyotea katika vituo vya Polisi katika mkoa wa Geita vimeendela kuongezeka, vipo vinavyofanywa na watuwasiojulikana, na vingine vinafanywa na jeshi la Polisi.Serikali na vyombo vya dola vinada
Kadri matumizi ya vyanzo vya nishati visizo rafiki kwa mazingira yanavyongezeka, ndivyo uharibifu wa mazingira na changamoto za mabadiliko ya tabia nchi zinavyozidi kupasua vichwa vya watawala duniani.Sehemu pekee ya kukimbilia ni kuchagiza ma
Ni Makala inayaomulika maisha ya kila siku ya wanafunzi 23 wanaovuka maji kila siku kuisaka elimu kutoka kisiwa cha Lulegea Mkoani Geita. Kutokana na kukosekana kwa shule katika kisiwa hicho hulazimika kuvuka maji kwa kutumia mtumbwi kwenda kat
Namna ambavyo jamii imekuwa ikiwachukulia watu wa Rastafari na Imani yao kutokana na wao kuhusishwa katika uvutaji Bangi na matendo mengine yasiyo ya kiungwana.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/giga-afrika